Alhamisi, 23 Februari 2017

MAJUKUMU YA MFUKO WA PSPF

}Yaliyomo

  §Historia ya Mfuko§Majukumu ya Mfuko§Huduma zitolewazo na Mfuko§Fursa zilizopo PSPF§Mafanikio ya Mfuko§Hitimisho

}Historia ya PSPF

PSPF ni Taasisi ya hifadhi ya jamii iliyoanzishwa kwa Sheria Namba 2 ya Mafao ya Hitimisho la kazi kwa watumishi wa Umma ya mwaka 1999 (The Public Service Retirement Benefits Act No.2 of 1999). Baada ya kufutwa sura 371 ya sheria ya Pensheni ya mwaka 1954.

}Mabadiliko ya Sheria

Mabadiliko ya sheria katika sekta ya Hifadhi ya jamii yamesababisha yafuatayo:
}uhuru wa kuandikisha wanachama kutoka sekta zote.
}uhuru kwa mtumishi mpya kuchagua Mfuko autakao.
} Kuanzishwa kwa Mpango wa Uchangiaji wa Hiari -  PSPF (PSS) ili kuongeza wigo wa wanachama wake.

}Majukumu ya Mfuko

}Kutambua na kuandikisha wananachama.

}Kukusanya Michango kutoka kwa waajiri na wanachama.

}Kutunza kumbukumbu  za wanachama.

}Kuwekeza michango ili kuzalisha faida.

}Kulipa mafao.


}KuandikishaWanachamaKutambua na kuandikisha wananachama ambapo hadi kufikia Desemba 2014 Mfuko ulikuwa na wanachama 348,678 wanaoleta michango katika Mpango wa Lazima, na wanachama 34,954 katika Mpango wa Uchangiaji wa Hiari (PSS).


}Kutunza Kumbukumbu

Takwimu za Disemba 2014 inaonyesha ifuatavyo:

}Wanachama wachangiaji 348,678;

}Wastaafu na wategemezi 57,261


}Kukusanya Michango

}Mfuko unawajibika kukusanya michango na kutunza taarifa za michango ya wanachama. Kwa kipindi cha miaka 5, michango iliyopokelewa na Mfuko ni: - 2013/14   - shilingi bilioni   585.30 -  2012/13   - shilingi bilioni   516.34 -  2011/12    - shilingi bilioni   444.10 -  2010/11    -  shilingi bilioni   392.90 -  2009/10   - shilingi bilioni   239.20


}Mafao yanayotolewa na PSPF Mpango wa Lazima (PSPF Main Scheme) 

}Fao la Uzeeni
}Fao la Ulemavu/Ugonjwa
}Fao la Kifo
}Rambirambi ya Mazishi
}Fao la Wategemezi
}Fao la kujitoa na
}Fao la kufukuzwa/kuachishwa kazi.


}Fao la Uzazi

Asilimia 130%
ya mshahara
bila makato yoyote
hadi watoto wanne.


}Fao la Uzazi

üLilianzishwa rasmi Julai 2014,
üKiwango ni 130% ya mshahara wa mtumishi,
üMwanachama atachangia kwa miaka 2 kuanzia Julai 2014,
üLitaanza kulipwa Julai 2016.

}Mkopo wa Jipange kimaisha na PSPF

}Mfuko unatoa mkopo wa kuanza maisha kwa wanachama wake wapya kwa masharti nafuu Michango miezi 6 kipindi kisizidi miezi 12Mkopo ni hadi mishahara ya miezi mitatuMarejesho ni hadi miaka 2

}Mkopo wa Elimu kwa
wote

}Mfuko unatoa mkopo wa elimu kwa wanachama katika chuo chochote atakachopata na anaweza kurudisha ndani ya miaka mitano.

}Mafao yanayotolewa na Mpango wa Hiari

Mpango wa Uchangiaji wa Hiari (PSS) -Fao la Elimu, -Fao la Ujasiriamali,  - Fao la Uzeeni,
 -Fao la       Ulemavu,
 -Fao la Kifo, na -Fao la kujitoa.

Kima cha chini cha uchangiaji ni shs 10,000/= tu   na hakuna kima cha juu.


}Uwekezaji


Mfuko umewekeza katika vitega uchumi mbalimbali na unazingatia kanuni za uwekezaji ambazo ni;


§Usalama (Safety),§Faida (Yield),§Ujazo wa fedha (Liquidity,) na§Uwajibikaji wa Kiuchumi (Economic and Social Responsibility).


}Uwekezaji Mbalimbali


Nyumba 666 zilizojengwa na Mfuko kwa ajili ya kuwakopesha wanachama na wananchi kwa marejesho ya hadi miaka 25.


 }Huduma kwa Wateja


§Mtandao wa ofisi katika mikoa yote ya Tanzania iliyounganishwa na teknolojia ya kisasa. §Kibanda cha taarifa (Information Kiosk)§Tovuti kwa taarifa mbalimbali kwa wanachama (www.pspf-org.tz)

§Huduma kwa njia ya sms kupitia mtandao wa Vodacom au Airtel ijulikanayo kama “PSPF PAMOJA NAWE”  (PSPF – 15357)

§Kitengo cha huduma kwa njia ya simu (Call Centre unit) kwa wateja (022 5510400).

}Fursa/Huduma za PSPF kwa wanachama

§Mkopo wa kuanzia maisha

§Mkopo wa elimu kwa wanachama

§Mikopo ya fedha taslimu kwa ajili ya ununuzi, ujenzi au ukarabati wa nyumba za makazi kwa wanachama waliobakiza miaka 5 kustaafu kwa lazima. Ambapo mwanachama anaweza kukopa hadi 50% ya Kiinua Mgongo

§Mikopo ya pensheni ya kila mwezi isiyo na riba.

§Mstaafu kupata mkopo kupitia Benki ya Posta wa kipindi kisichozidi miezi 36 kwa riba ya 12%. 

§Mwanachama wa Mfuko wowote wa Hifadhi ya jamii anaweza kujiunga na PSPF kupitia Mpango wa Uchangiaji wa Hiari (PSS).

}Fursa zilizopo PSPFMikopo ya nyumba za makazi zilizojengwa na PSPF.

Mikopo ya nyumba za makazi zilizojengwa na PSPF
Mikopo ya nyumba za makazi zilizojengwa na PSPF. 
Mikopo ya nyumba za makazi zilizojengwa na PSPF.
Jumla ya nyumba 666 zimejengwa DSM (491), Morogoro (25), Mtwara (50), Shinyanga (50), Tabora (25) na Iringa (25).
§Nyumba hizi zimewekewa bima ya majengo na;
§Mwanachama anaponunua au kukopa ndipo hukatiwa bima ya maisha; 
§Bei za nyumba
DSM: Tsh 66.08 – 83.78 milioni (na VAT) Mikoani: Tsh 61.36 – 74.34 milioni (na VAT)
§NAMNA YA UNUNUZI WA NYUMBA HIZI:

üUnunuzi kama Mpangaji (Lease Hold Financing) kwa Tshs 450,000/=  hadi  813,000/=  kwa mwezi.

üMkopo wa Nyumba Kupitia Benki (Mortgage Basis, malipo ni hadi miaka 25.

üMalipo ya Mara Moja (Outright Purchase).

}Mafanikio ya PSPF

§Kukua kwa kasi kutoka shilingi bilioni 36.5 Juni 2000 hadi  Shilingi trilioni 1.30 Juni 2014.

§Ujenzi wa nyumba za makazi kwa ajili ya kukopesha wanachama na wananchi.

§kusogeza huduma kwa wateja wake kwa kuwa na ofisi katika Mikoa yote ya Tanzania bara na Zanzibar.

§Udhibiti wa matumizi ya uendeshaji wa Mfuko kwa kutumia mifumo madhubuti ya habari na wafanyakazi wenye ari na ueledi.


Hitimisho.

Kwa wanaoanza ajira
PSPF ni chaguo lako sahihi.

Kwa wanachama wetu
PSPF pamoja nawe

Kwa wastaafu PSPF tulizo la wastaafu


Jumatatu, 30 Mei 2016

SEE HOW IT WAS THAT DAY.


BAD AND GOOD MOMENT

The one how missed penalty for A. Madrid
                                        


 A.Madrid fans after their player missing a penalty
   

C. Ronaldo last pernalty for winning
  

C. Ronaldo celebrating after penalty score

A. Madrid fans after C. Ronaldo score a last penalty

 Marcelo celebrating their winning



 R. Madrid players celebrating after winning


 F. Torres after a game

UEFA CUP


SIMPLIFY TEACHING BY TEACHING AIDS

IMPORTANCE OF TEACHING AIDS.

Teaching aids are the instruction media used by a teacher to simplify the teaching and learning processes. Teaching aids are those materials that helps the teacher to explain better knowledge and help the students to understand. Teaching aids are integral components in any classroom. The following are some of the importance of teaching aids;-
Teaching aids helps as a motivation in teaching and learning process almost motivation is everything, every individual whether teen or adults are attentive to practical knowledge, the use of teaching aids can motivate and capture the students interests in what you are teaching.
Teaching aids helps to keep memory to the learners for long time, what we hear we can keep memory but what we see we can remember more easily. Individual are prone to hold on more to memories of things they have seen than that they heard when audio visual aid is correctly used it will help in retention of the acquired knowledge.
Teaching aids helps to increase experience since it reduces the workload of explanation on the teacher and gives more permanent knowledge. Teaching aids provides more direct experience for the students, since a student may have seen an object without knowing its name or uses but the teacher will teach on them.
It helps the learners to improve reading, illustrating and reinforcing skills or concepts, differentiating instruction and relieving anxiety by presenting information in a new and exciting way.
Teaching aids save time and money since through using teaching aids such as prepared charts with important information, teachers can save a lot of time because it is no longer required to write notes on the board for the students to copy.

Teaching aids helps to encourage creativity to the learners, since the use of teaching aids enable students to do research by using project or discovery method and to draw conclusion with the help of learning aids and to solve problems themselves with learning aids.

Ijumaa, 27 Mei 2016

Learn more about the types of Computers.



TYPES OF COMPUTERS

Computers can be classified based on their principles of operation or on their configuration. By configuration, we mean the size, speed of doing computation and storage capacity of a computer.

Types of Computers based on Principles of Operation

There are three different types of computers according to the principles of operation. Those three types of computers are
  • Analog Computers
  • Digital Computers
  • Hybrid Computers

Analog Computers

Analog Computer is a computing device that works on continuous range of values. The results given by the analog computers will only be approximate since they deal with quantities that vary continuously. It generally deals with physical variables such as voltage, pressure, temperature, speed, etc.

Digital Computers

On the other hand a digital computer operates on digital data such as numbers. It uses binary number system in which there are only two digits 0 and 1. Each one is called a bit.
The digital computer is designed using digital circuits in which there are two levels for an input or output signal. These two levels are known as logic 0 and logic 1. Digital Computers can give more accurate and faster results.
Digital computer is well suited for solving complex problems in engineering and technology. Hence digital computers have an increasing use in the field of design, research and data processing.
Based on the purpose, Digital computers can be further classified as,
  • General Purpose Computers
  • Special Purpose Computers
Special purpose computer is one that is built for a specific application. General purpose computers are used for any type of applications. They can store different programs and do the jobs as per the instructions specified on those programs. Most of the computers that we see today are general purpose computers.

Hybrid Computers

A hybrid computer combines the desirable features of analog and digital computers. It is mostly used for automatic operations of complicated physical processes and machines. Now-a-days analog-to-digital and digital-to-analog converters are used for transforming the data into suitable form for either type of computation.
For example, in hospital’s ICU, analog devices might measure the patients temperature, blood pressure and other vital signs. These measurements which are in analog might then be converted into numbers and supplied to digital components in the system. These components are used to monitor the patient’s vital sign and send signals if any abnormal readings are detected. Hybrid computers are mainly used for specialized tasks.

Types of Computers based on Configuration

There are four different types of computers when we classify them based on their performance and capacity. The four types are


Super Computers

When we talk about types of computers, the first type that comes to our mind would be Super computers. They are the best in terms of processing capacity and also the most expensive ones. These computers can process billions of instructions per second. Normally, they will be used for applications which require intensive numerical computations such as stock analysis, weather forecasting etc. Other uses of supercomputers are scientific simulations, (animated) graphics, fluid dynamic calculations, nuclear energy research, electronic design, and analysis of geological data (e.g. in petrochemical prospecting). Perhaps the best known super computer manufacturer is Cray Research. Some of the "traditional" companies which produce super computers are Cray, IBM and Hewlett-Packard.
As of July 2009, the IBM Roadrunner, located at Los Alamos National Laboratory, is the fastest super computer in the world.
If you want to know more advanced details about super computers, refer to SuperComputers

Mainframe Computers

Mainframe computers can also process data at very high speeds vi.e., hundreds of million instructions per second and they are also quite expensive. Normally, they are used in banking, airlines and railways etc for their applications.


Mini Computers 

Mini computers are lower to mainframe computers in terms of speed and storage capacity. They are also less expensive than mainframe computers. Some of the features of mainframes will not be available in mini computers. Hence, their performance also will be less than that of mainframes.

Micro Computers                

The invention of microprocessor (single chip CPU) gave birth to the much cheaper micro computers. They are further classified into
  • Desktop Computers
  • Laptop Computers
  • Handheld Computers(PDAs)

Desktop Computers


Today the Desktop computers are the most popular computer systems.These desktop computers are also known as personal computers or simply PCs. They are usually easier to use and more affordable. They are normally intended for individual users for their word processing and other small application requirements.

Laptop Computers


Laptop computers are portable computers. They are lightweight computers with a thin screen. They are also called as notebook computers because of their small size. They can operate on batteries and hence are very popular with travellers. The screen folds down onto the keyboard when not in use.


HANDHELD COMPUTERS



Handheld computers or Personal Digital Assistants (PDAs) are pen-based and also battery-powered. They are small and can be carried anywhere. They use a pen like stylus and accept handwritten input directly on the screen. They are not as powerful as desktops or laptops but they are used for scheduling appointments, storing addresses and playing games. They have touch screens which we use with a finger or a stylus.